tag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post1728713177539723994..comments2023-10-20T05:14:20.007-07:00Comments on MIRADI KWANZA: SOMO: FAIDIKA NA KILIMO CHA VITUNGUU MAJIAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/03958508013109170188noreply@blogger.comBlogger5125tag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post-50699814036811287682022-03-14T03:49:15.737-07:002022-03-14T03:49:15.737-07:00Naomba ushauri kuusu uwekaj WA mbolea kwenye kital...Naomba ushauri kuusu uwekaj WA mbolea kwenye kitalu na Aina gani mzuri ya sumu ya kuzibiti magonjwa yatokanayo na fangasi Anonymoushttps://www.blogger.com/profile/17504223620457789167noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post-80873326984839945942020-09-12T07:08:07.222-07:002020-09-12T07:08:07.222-07:00BAJETI YA KILIMO CHA VITUNGUU
Kilimo kitach...BAJETI YA KILIMO CHA VITUNGUU <br /> <br />Kilimo kitachukua miezi 3 hadi 4 kuotesha vitunguu vyako baada ya kuvipandikiza kutoka kwenye kitalu. <br /> Quantity Unit Cost Total Cost <br />Bomba la kunynyuzia sumu na dawa 1pc 45,000 45,000 <br />Pump ya maji 1pc 350,000 350,000 <br />Mipira ya maji 3pcs 130,000 390,000 <br />Kolomeo la maji 7m 17,000 119,000 <br />Majembe 2pcs 10,000 20,000 <br />Leki 1pc 10,000 10,000 <br />Chepe 2pcs 10,000 20,000 <br />Mbegu 3kgs 120,000 360,000 <br />Mbolea ya kuchochea ukuaji wa mizizi ustawi wa mmea 2bags 50,000 100,000 <br />Mbolea ya kukuzia kitunguu 2bags 50,000 100,000 <br />Mbole ya kujenga kitunguu chenye Afya, umbo kubwa na kuongeza maisha rufani baada ya kuvunwa 2bags 50,000 100,000 <br />Mbole ya maji ya majani - - <br />Dawa ya kudhibiti magonjwa ya ukungu 12wiki 10,000 120,000 <br />Sumu ya kudhibiti wadudu waharibifu 12wiki 25,000 300,000 <br />Mafuta ya petrol 12wiki 25,000 300,000 <br />Palizi 2palizi 100,000 200,000 <br />Sumu ya magugu 2palizi - - <br />Sumu ya palizi 2palizi - - <br />Watenda kazi wa kupulizia dawa za magonjwa na wadudu 12wiki - - <br />Watenda kazi wa kumwagilia maji 12wiki - - <br />Watenda kazi kuangalia shamba na ulinzi 12wiki - - <br />Kulima kwa trekta shamba eka moja 1eka 50,000 50,000 <br />Kupiga harrow shamba eka moja 1eka 40,000 40,000 <br />Kukodi shamba eka moja 1eka 100,000 100,000 <br />AKIBA 1eka 1,000,000 1,000,000 <br /> 3,724,000 <br />Anonymoushttps://www.blogger.com/profile/12973858792517844798noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post-76674278994901632832020-08-21T06:54:13.058-07:002020-08-21T06:54:13.058-07:00Naomba kujua taarifa za soko la nje ya Tanzania ha...Naomba kujua taarifa za soko la nje ya Tanzania has katika ukanda wa nch za SADC<br />Nickhttps://www.blogger.com/profile/06058736475719604535noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post-27690957099181916222016-12-17T04:15:53.799-08:002016-12-17T04:15:53.799-08:00NAOMBA KUPATA GHARAMA ZA KULIMA EKARI MOJA YA VITU...NAOMBA KUPATA GHARAMA ZA KULIMA EKARI MOJA YA VITUNGUUAnonymoushttps://www.blogger.com/profile/12264161968560015396noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-2060695150732014302.post-70467236768317286192016-08-16T01:38:57.134-07:002016-08-16T01:38:57.134-07:00NAOMBA KUPATA MAKISIO YA GHARAMA ZA KULIMA HEKARI ...NAOMBA KUPATA MAKISIO YA GHARAMA ZA KULIMA HEKARI MOJA YA VITUNGUAnonymoushttps://www.blogger.com/profile/14166187050954852381noreply@blogger.com